SPIKA ZUNGU AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA KANUNI ZA BUNGE
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu (Mb), ameongoza kikao cha Kamati ya Kanuni za Bunge kilichofanyika Januari 30, 2026 katika ofisi za Bunge Jijini Dodoma.