Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Daniel Baran Sillo (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Katibu Mkuu wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi Wanachama wa Ukanda wa Maziwa Makuu (FP-ICGLR), Mhe. Balozi. Dkt. Deo Mwapinga, alipomtembelea tarehe 30 Januari, 2026 Ofisini kwake Bungeni, Jijini Dodoma.