United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
23rd Jun 2016
Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti Mhe. Hawa Ghasia akiwasilisha maoni ya Kamati hiyo kuhusu muswada wa Sheria ya Fedha wa mwaka 2016.
20th Jun 2016
Waheshimiwa Wabunge wakimpongeza Waziri wa Fedha na Mipango Mhe Dkt Philip Mpango na Naibu Waziri Dkt Ashatu Kijaji mara baada ya kupitishwa kwa Bajeti ya Serikali ya mwaka 2016/17.
17th Jun 2016
Makamu Mwenyekiti Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Mhe Almas Athuman Maige akisoma taarifa ya Kamati.
14th Jun 2016
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Philip Mpango akiwasili Bungeni kusoma Hotuba ya mapendekezo ya serikali kuhusu makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017
Hon. Capt. (Mst). George Huruma Mkuchika
Newala Mjini (CCM)