United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
02nd Sep 2016
Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson akifungua mafunzo ya siku nne kwa Kamati Nne za Bunge Mjini Dodoma
01st Sep 2016
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba (Mb) akijibu hoja za Wabunge kuhusu utendaji wa Wizara yake wakati wa kikao cha Kamati ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mjini Dodoma.
29th Aug 2016
Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu Prof. Adamson Sigalla Norman akisisitiza jambo wakati kamati yake ilipotembelea uwanja wa ndege wa Dodoma.
29th Aug 2016
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Suleiman Jaffo Kamati ya akizungumza mbele ya Wajumbe wa Kamati ya Utawala na Serikali za Mitaa
29th Aug 2016
Wajumbe wa Kamati Hesabu za Serikali(PAC) wakiwa katika kikao cha Kamati hiyo Mjini Dodoma.