United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
07th Nov 2017
Waheshimiwa Wabunge wakiimba Wimbo wa Taifa kabla ya kuanza kwa Mkutano wa Tisa wa Bunge Mjini Dodoma
24th Oct 2017
Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakimsikiliza Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mheshimiwa Naghenjwa Kaboyoka. Kamati zote za Bunge zimeanza kukutana Mjini Dodoma
08th Sep 2017
Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi na Tume ya Bunge walipokutana kwa dharura kujadili tukio la kushambuliwa kwa Mhe Tundu Lissu