Parliament of Tanzania

WENYEVITI WA BUNGE WACHAGULIWA

Wabunge wa Bunge la Kumi na Moja wamewachagua Wenyeviti wa tatu wa Bunge ambao watasaidiana na Spika wa Bunge na Naibu Spika katika kuliongoza Bunge la Kumi na Moja katika kipindi cha Nusu ya Uhai wake.


Waliochaguliwa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria Ndogo Mhe. Andrew Chenge (MB), Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Dr Mary Mwanjelwa (MB) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba Mhe.Najma Giga (MB).



Akizungumza kabla ya uchaguzi wa Wenyeviti hao Katibu wa Bunge Dkt Thomas Kashililah alisema Kamati ya Uongozi iliwapitisha Wabunge watatu kugombea nafasi hizo tatu za Uenyekiti wa Bunge.

Dkt Kashililah alisema kwa kuwa Wagombea waliopitishwa ni watatu na kwa kuwa nafasi zilikuwa tatu hivo Bunge lilikuwa na kazi ya kuwadhibitisha.


Hivyo Spika wa Bunge Mhe Job Ndugai aliwaita Wagombea wote watatu kujinadi mbele ya Bunge kabla ya kupigiwa kura ya pamoja ya Ndio au Hapana.


Ambapo Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria Ndogo Mhe. Andrew Chenge (MB), Mwenyekiti wa Kamati ya Ardhi, Maliasili na Utalii Mhe. Dr Mary Mwanjelwa (MB) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Katiba Mhe.Najma Giga (MB) walichaguliwa kwa kura nyingi za Ndio kuwa Wenyeviti wa Bunge.

Hon. Job Y. Ndugai

Speaker of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Speaker / Comments

Ms. Nenelwa J. Mwihambi

Clerk of the National Assembly

Legislative Role

Profile

Ask the Clerk / Comments

Member of the Parliament

Hon. Dr. Advocate Damas Daniel Ndumbaro

Songea Mjini (CCM)

Questions / Answers(3 / 8)

Supplementary Questions / Answers (10 / 10)

Contributions (13)

Profile

Hon. Mary Francis Masanja

Special Seats (CCM)

Questions / Answers(0 / 8)

Supplementary Questions / Answers (0 / 8)

Profile

Hon. Eng. Dr. Leonard Madaraka Chamuriho

Nominated (CCM)

Profile

View All MP's