United Republic of Tanzania
Parliament of Tanzania
04th Jun 2016
Naibu Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson akizungumza na Wabunge wakati wa ufungunzi wa Semina kwa wabunge kuhusu Malengo ya dunia iliyoandaliwa Shirika la Maendeleo (UNDP).
30th May 2016
Mhe George Mkuchika Mwenyekiti wa Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge akisoma Azimio la Bunge kuhusu Wabunge waliofanya vurugu Januari 27, 2016 Bungeni Mjini Dodoma.